Skip to main content

KUKOMESHA KISUKARI NI MIMI NA WEWE

KUKOMESHA KISUKARI NI MIMI NA WEWE


Ndugu msomaji nikukaribishe tena katika mwendelezo wa makala haya ya ugonjwa hatari wa kisukari kwa leo tukiangazia athari kubwa zinazowezasababishwa na kisukari karibu.
TULIPOISHIA MAKALA YALIYOPITA
Kwani kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani(WHO)inadai magonjwa yasiyo ya kuambukiza ndio chanzo kikubwa cha vifo duniani yakifanya ongezeko ya vifo vyote kwa kila mwaka.
Inakisiwa kuwa mwaka wa 2020 magonjwa haya yasiyo ya kuambukiza yatasababisha asilimia 73 ya vifo vyote duniani na asilimia 60 ya ukubwa wa tatizo la magonjwa duniani.
SONGA MBELE ZAIDI..............
Kutokana na kuwepo kwa athari mbalimbali ambazo husababishwa na ugonjwa huu usiowa kuambukiza wa kisukari ni pamoja na kuwepo kwa uwezekano mkubwa kwa mgonjwa aliyekwisha kuathiriwa na kisukari wenda akapatwa na tatizo la figo .Japo ni vigumu kujua ni mgonjwa yupi wa ugonjwa wa kisukari anawezakukumbwa na tatizo hili la figo japo zipo ishara kadha wa kadha.
Ieleweke kuwa ugonjwa huu wa kisukari ni chanzo kikuu cha ugonjwa wa figo ulio katika hatua ya mwisho kutokana na walio wengi hupatwa na tatizo hili ,hata hivyo kwa mgonjwa wa kisukari ni vigumu sana kupatwa na tatizo la figo hasa katika kipindi cha miaka kumi ya kwanza kabisa ya tatizo la ugonjwa wa kisukari.
Ikumbukwe kuwa ugonjwa huu wa kisukari huorodheshwa na shirika la afya ulimwenguni kuwa ni moja ya sababu kuu za watu kufariki mapema ikiwa ni pamoja na kupatwa na matatizo ya upofu,figo kushindwa kufanya kazi inavyotakiwa ,mtu kukatwa mguu na kupatwa na ugonjwa wa kiharusi,kwani hali hii yote huchochea athari kubwa za kiuchumi hasa kwa mtu na hata familia kwa ujumla.
WHO katika kuangazia athari ya tatizo la ugonjwa huu hatari wa kisukari hasa kwa jamii za kimataifa katika kusaidia kinga uchunguzi na usimamizi unaotakiwa kwa ugonjwa huo ambao ulisababisha vifo vya takribani watu milioni 1.6 kwa mwaka 2016 pekee kote ulimwenguni.
Kuendelea kujitokeza kwa matatizo mbalimbali hasa haya yote huchochewa na kuwepo kwa tatizo hili la kisukari ambalo limekuwa tishio kubwa kwa maisha ya wanajamii mabalimbali,hata hivyo jitihada za haraka zinatakiwa kuendelea kuchukuliwa kutokana na hali halisi ya tatizo kuendelea kushika kasi kwa kuenea ulimwenguni kote.
Aidha, athari kubwa ya kiuchumi itokanayo na ugonjwa huu wa kisukari kuna uwezekano mkubwa kutokea kwa mtu yeye mwenyewe na familia kwa ujumla kwani gharama hiyo ya kupanda hali ya maisha yawezasababishwa na sindano ya Insulini na ufuatiliaji pekee ambao waweza kutumia nusu ya mapato kwenye familia hali inayowafanya walio wengi kushindwa kupata dawa za kisukari mara kwa mara na huduma husika hali inayochochea tatizo kubwa na kuendelea kuongeza idadi ya walioathiriwa na ugonjwa hatari wa kisukari.
Kutokana na tatizo hili kuendelea kushamiri na kuwa kubwa kwa kiasi chake hali inayoendelea kuleta athari kubwa kwa jamii ya kitaifa na kimataifa kwani ni wakati sasa kwa kila mmoja wetu kutambua ugonjwa huu kwa undani ikiwa ni pamoja na kufuatilia ushauri wa kitaalamu kuhusu afya yako ili kuanza kuchukua hatua za kukabiliana na ugonjwa huu ikiwa umebainika kuathiriwa.
Daktari mgeta anaeleza kwa ujumla jinsi ya kuepukana na tatizo hili kwa kuchukua tahadhari mapema ikiwa ni pamoja na jamii kuwa na utamaduni wa kujali afya kwa ujumla hapa anasema;
"Kwa ujumla jamii ijipe mtazamo wa kuwa inapima na kuchunguza afya baada ya muda fulani hasa baada ya mwezi unapashwa kuangalia afya yako kwa ujumla,pia mazoezi yapewe kipaumbele sana hali itakayoufanya mwili kuwa na kiwango cha sukari iliyo na uwiano sawa" alisema Mgeta.
Kutokana na hali halisi ya mambo yanayozidi kujitokeza kwa kasi sana kutokana na kuwepo kwa tatizo hili la ugonjwa wa kisukari ni hakika kwa pamoja kushirikiana kwa kiasi kikubwa na kwa nguvu moja katika kulitokomeza tatizo hili.licha ya tatizo hili kuendelea kuwa pana na lenye nguvu katika kukatiri uhai wa maisha ya watu walio wengi ulimwenguni wewe na mimi bado tunayo nafasi ya kutumia dawa katika kuondokana na hilo tatizo ikiwa ni pamoja na kuendele kuchunguza afya zetu kwa pamoja.
ENDELEA KUFUATILIA MWENDELEZO WA MAKALA MBALIMBALI ZA AFYA ZIJAZO...............
Suluhisho la tatizo ulilonalo kiafya ni hapa>>>>
Mawasiliano: +255782643285


Comments

Popular posts from this blog

7 Steps To Break (or Make) A Habit

 We as a whole have propensities, some great and some not all that great. These are practices that we've learned and that happen naturally. Furthermore, a large portion of us have a propensity we'd prefer to break, or one we'd prefer to create.  For a great many people, it requires around a month for another conduct to get standard, or propensity. The accompanying advances can make it simpler to build up another personal conduct standard.  1. The initial step is to define your objective. Particularly when you are attempting to stop or get out from under a propensity, you should attempt to express your objective as a positive explanation. For instance, rather than saying "I will stop eating around evening time", say "I will rehearse good dieting propensities". You ought to likewise record your objective. Commiting it to paper encourages you to submit. It can likewise help in the event that you advise your objective to somebody you trust.  2. Choose a subs...

Does Reopening Schools Cause COVID-19 to Spread?

We found that schools can resume for face to face guidance minus any additional spreading COVID-19 in close by networks if the quantity of individuals with the sickness is generally low. In any case, if there are in excess of 21 cases for each 100,000 individuals, COVID-19 spread may increment.  To arrive at this resolution, we utilized information from September through December 2020 in Michigan and Washington states — the two of which permitted areas to choose whether or not to offer face to face tutoring around then — to examine what these distinctive instructional choices mean for COVID-19 case rates.  It's difficult to sort this out on the grounds that different elements, for example, social removing and the utilization of covers, could be at fault. So it may create the impression that going to class face to face makes COVID-19 spread, however it is because of wellbeing propensities — or the scarcity in that department — particularly if those equivalent networks are bound...

Home Businesses Improves your Future

 Locally situated organizations are filling in notoriety every year. They are a huge method to enhance your family pay and stay in the house to chip away at your main goal, your family. An independent venture can fill in size, driving it to not be a wellspring of supplementation of the pay however to really turn out the full revenue, in the event that you so decide. All you need is a little energy and a ton of assurance! Beginning an independent venture ought to be set around something that you appreciate doing. It will be difficult to carry out a business and keep on keeping it running, on the off chance that you despise that sort of business that you have begun. Remember that a business won't develop in the event that you don't persistently work at improving it and offering your customers items and administrations that are intended for their individual requirements. Defining objectives every day that you might want to achieve can assist you with remaining fixed on what you ne...