Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2019

NAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI.

AFYA BORA. NAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI. Leo katika zama hizi za sayansi na tekinolojia magonjwa/maradhi yamekua mengi sana si Tanzania tu bali duniani kote kutokana na Sumu kutoka katika vitu mbalimbali hali ambayo hupelekea kupungua kwa Kinga ya mwili. .Jambo muhimu analopaswa kufahamu binadamu yoyote ni kwamba cell zetu ndio zinazopata maradhi hayo maana afya ya mwili wa binadamu hutegemea afya ya cell zake. Najua unapenda kuwa na afya njema. Je unafahamu maradhi mengi 90% husababishwa na utumbo wako kuwa mchafu? Je unafahamu kuwa unavyopeleka service gari lako na mwili wako unahitaji? Umewahi kufikiria njia za kusafisha utumbo wako kutoa sumu za kemikali za soda, sigara, madhara ya madawa, air condition, juice za box(artificial juice), pombe na mengineyo? Jaribu kufikiria je unapata choo kilaini. Je unapata kila siku? Kutokupata choo huweza kusababisha maradhi mengi katika afya yetu. Kama vile kupata matatizo ya utumbo,vitambi, la

KUKOMESHA KISUKARI NI MIMI NA WEWE

KUKOMESHA KISUKARI NI MIMI NA WEWE Ndugu msomaji nikukaribishe tena katika mwendelezo wa makala haya ya ugonjwa hatari wa kisukari kwa leo tukiangazia athari kubwa zinazowezasababishwa na kisukari karibu. TULIPOISHIA MAKALA YALIYOPITA Kwani kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani(WHO)inadai magonjwa yasiyo ya kuambukiza ndio chanzo kikubwa cha vifo duniani yakifanya ongezeko ya vifo vyote kwa kila mwaka. Inakisiwa kuwa mwaka wa 2020 magonjwa haya yasiyo ya kuambukiza yatasababisha asilimia 73 ya vifo vyote duniani na asilimia 60 ya ukubwa wa tatizo la magonjwa duniani. SONGA MBELE ZAIDI.............. Kutokana na kuwepo kwa athari mbalimbali ambazo husababishwa na ugonjwa huu usiowa kuambukiza wa kisukari ni pamoja na kuwepo kwa uwezekano mkubwa kwa mgonjwa aliyekwisha kuathiriwa na kisukari wenda akapatwa na tatizo la figo .Japo ni vigumu kujua ni mgonjwa yupi wa ugonjwa wa kisukari anawezakukumbwa na tatizo hili la figo japo zipo ishara kadha wa kadha. Ieleweke kuw

JE WAJUA UNYWAJI WA POMBE NA UVUTAJI WA SIGARA KUPINDUKIA WAWEZA POTEZA UWEZO WA KUTUNZA KUMBUKUMBU?

JE WAJUA UNYWAJI WA POMBE NA UVUTAJI WA SIGARA KUPINDUKIA WAWEZA POTEZA UWEZO WA KUTUNZA KUMBUKUMBU? Utafiti umeonesha kwamba, uvutaji wa sigara kupindukia unasbabisha kupungua kwa kiwango cha hewa safi ya oksijeni kwenye ubongo kwa ajiri ya kuratibu shuguli mbalimbali za kibaiolojia. Pia Unywaji wa pombe kupita kiasi unaweza kusababisha,kubadilika kwa kemikali mbalimbali zinazopatikana kwenye ubongo hivyo, kuingilia mfumo mzima wautunzaji wa KUMBUKUMBU.

FOREVER BRIGHT

ALOE VERA TOOTHGEL Bidhaa ya kusafisha meno iliyotengenezwa tokana na ‘stabilized’ Aloe vera gel pamoja na bee propolis hivyo huu bacteria na vijidudu vyote. Inang’arisha meno bila ya kuchuna tabaka la juu la meno – ENAMEL Huzuia meno yasitoe damu , kuponya vidonda vya mdomoni na endapo kuna maumivu mdomoni unaweza kupaka kwenye meno moja kwa moja bila ya kupiga mswaki. Husaidia kusafisha fizi na kuzifanya tishu zake ziwe na afya imara. Inatumika kwa muda mrefu Haina fluoride kama dawa nyingine za meno sokoni. Fluoride ikimezwa huweza kusababisha madhara mwilini. call us on +255782643285

FOREVER FREEDOM

FOREVER FREEDOM INA ALOE VERA GEL IMECHANGANYWA NA GLUCOSAMINE, CHRONDROITIN NA MSM, ELEMENT ZA ASILI ZINAZO BORESHA AFYA YA VIUNGO NI NZURI KWA WATU WAZIMA NA WANAMICHEZO WANAOTAKA KUTEMBEA VIZURI. FAIDA; HUSAIDIA MFUPA ISICHAKAE NA KURUDISHA UTEUTE ULIOPO KATIKATI YA VIUNGO (SYNOVIAL FLUID) KULAINISHA VIUNGO (MAGOTI) NA KUONDOA MAUMIVU. TUPIGIE;+255782643285

JE UNASUMBULIWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?

JE UNASUMBULIWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME? BASI LEO LIFAHAMU TATIZO LA  # UKOSEFU  WA NGUVU ZA  # KIUME  NA CHANZO CHAKE. Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia tatizo la kupungua nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, siyo Tanzania tu, bali duniani kote. Jambo muhimu analopaswa mwanaume yeyote kufahamu ni kwamba, kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa, ni dalili ya ugonjwa. Hii ina maana kuna dosari au udhaifu wa kiutendaji ndani ya mwili wake. Kuna sababu nyingi mno zinazosababisha mwanaume apungue nguvu za kiume. Mtu aweza kujiuliza kwa nini kuwe na sababu nyingi namna hiyo? Nguvu za kiume Ni nini? Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo lenyewe. Ni viungo gani vinavyohusika na nguvu za kiume? Nguvu za kiume ni tukio pana sana l

FOREVER ARCTIC SEA

FOREVER ARCTIC SEA Ni bidhaa ya asili imetokana na mafuta ya samaki aina ya SALMON FISH anayepatikana kwenye kina kirefu cha bahari ya ARTIC anayetoa OMEGA 3 na mafuta ya MIZEITUNI inayotoa OMEGA 9. Bidhaa hii inasaidia sana na ina FAIDA KUBWA SANA KATIKA MWILI WA BINADAMU:- 1: UKUAJI na ufanyaji kazi mzuri wa MACHO NA UBONGO 2: Matatizo ya kupoteza kumbukumbu na inasaidia kuongeza uwezo wa hufahamu 3: Afya ya ngozi. 4: Huongeza nguvu na kinga za mwili. 5: Matatizo ya Cholesterol au kuondoa mafuta machafu mwilini. 6: Matatizo ya Homones 7: Husaidia kupambana na kuzuia Tatizo la Tezi Dume.(prostate 8: Kuzuia kukua kwa Uvimbe na Ganzi 9: Matatizo ya kupoteza kumbukumbu na inasaidia kuongeza uwezo wa kufahamu 10: Husaidia kupambana na kansa ya Matiti 11: Kupambana na Matatizo ya Stroke na magonjwa ya moyo. 13. Inasaidia kuondoa uvimbe katika mirija na sehemu ya kizazi ( Fibroid). ☆ Kwa Mahitaji na Maelezo Zaidi Tuwasiliane :Piga Simu/WhatsApp : +255782643285

FOREVER MULTI-MACA

FOREVER MULTI-MACA:- 1. INAONGEZA NA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME. 2. HUMSAIDIA MWANAUME ATOE MBEGU ZENYE UWEZO NA AFYA STAHILI. 3. HUONGEZA UWEZO NA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA. CALL/SMS/WHATSAPP US ON +255782643285 FOR FREE DELIVERY COUNTRY WIDE

KUPUNGUA UZITO KIAFYA (kg 5 - kg 19 )ndani ya siku 24 tuu Jifunze👇🏽👇🏽👇🏽

KUPUNGUA UZITO KIAFYA (kg 5 - kg 19 )ndani ya siku 24 tuu Jifunze 👇🏽 👇🏽 👇🏽 Watu wengi wamekua wakihangaika kupunguza uzito wao na wengine wamekua wakikwama kutokana na aliyotumia labda sio sahii sana au hakupata ushauri wa kiafya. Nandio maana wengi huona kupunguza uzito ni jambo gumu na kuwa na wasiwasi kua labda uzito wao au mwili aliokua nao ni wa kurithi! Kuna njia nyingi watu hutumia wengi hutumia 1**DIET tuu ,kujipangia vyakula vya kula au kujinyima kula, kula mlo mmoja tuuh au kupunguza lishe zao na wanaweza wakakonda na kuhisi wamepungua unajua kunatofauti ya kupungua na kukonda ukiunyima mwili lishe utakonda na sio kupungua ndio maana watu wengi wanatumia diet au kujinyima kula hua kama wanadhoofika na kuonekana kama wagonjwa hata sehemu nyingine za mwili nyama hutepeta au kuning'inia. mwili unabidi ulishwe Ndugu si kuunyima virutubisho muhimu. 2***KUFANYA MAZOEZI ,ni njia nyingine ambayo hua inawapatia watu matokeo kiasi kwakua huufanya mwili kutumia lis
Start your Cleansing program today 🌿 ☘ Here are some of the benefits of using C9 & F15 . . ✔ Eliminates harmful chemicals ✔ Restores your natural body system ✔ Manages your weight ✔ Flattter tummy . ✔ Smaller chest . ✔ Improves appearance of your skin ✔ Boosts your immune system ✔ Cleanses digestive system . ✔ Cleanses the liver . ✔ Better sleep . ✔ Less confusion (brain fog) ✔ Great mood all day . ✔ Improves fertility  😋 ✔ Removes excess fats . ✔ Purifies the blood And many more  💃 . . C9 & F15 are Aloevera based cleansing program enabling you to naturally & safely lose weight and belly fat. . . This kits are endorsed by doctors as a safe, nutritionally sound & sensible plan. They have been developed by our Expert Aloevera Nutritionists 💃   📌 Will they work for you 🤔 ? Certainly YES!! Because they have worked for millions of people worldwide and everyone on this page 😃
ARGI+   ni kirutubisho cha asili chenye L-Argne ambayo: *Inasaidia mishipa ya damu kutanuka na kuruhusu damu kupita vizuri *Hurekebisha kiasi cha sukari mwilini *Husaidia kushusha kiasi cha Cholesterol mwilini *Huongeza na kuboresha NGUVU ZA KIUME na KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA *Ina uwezo mkubwa wakuondoa sumu mwilini *Hurekebisha mfumo wa Damu na afya ya moyo *Huimarisha misuli na kupunguza mafuta machafu mwilini *Hupunguza kasi ya Kuzeeka Jipatie yako Leo tuwasiliane +255782643285