Skip to main content

Posts

5 Good Reasons a Self-Employed Professional Should Take Vacation

  So you believe you're not supported in removing time from your business since you're independently employed? Here are five incredible reasons why you should get away:   1. Physical vacation  You make a solid effort to develop and keep up your business. Attempting to be superhuman will surely incur significant damage on the off chance that you permit it to. Offer your body a reprieve by taking in some R&R.  2. Mental personal time  Your days are loaded up with occupied, here and there even feverish, everyday exercises identified with your business. In the event that you don't permit yourself to move away from it every so often, your significant serenity and general prosperity will most unquestionably endure. Get out and play. Your brain will much obliged!  3. Invest energy with friends and family  Your loved ones see you working, working, working, at times once in a while surfacing for oxygen. Both you and they will value getting to know one anoth...

5 Tips For Getting Rid of Acne

  At this point, nearly everyone has seen the late evening and early morning skin break out infomercials with Jessica Simpson and Sean "Daddy"  Combs. I surmise they figure, on the off chance that a superstar confides in something, at that point so should you. The guarantees made for the item solid dreamlike, but for some individuals it could be only the fix they're searching for. All things being equal, it may not be for everyone.  One of my girls who had gained an awful instance of skin inflammation lately, attempted the infomercial arrangement, and it didn't chip away at her by any stretch of the imagination. Being a youthful young person, she was assailed by skin inflammation breakouts and required an answer quick. Be that as it may, unfit to locate a fast arrangement, we wound up going to the nearby dermatologist for skin inflammation data and answers. The specialist gave her a remedy for a cream and an oral drug. In the wake of adhering to his directions for hal...

NAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI.

AFYA BORA. NAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI. Leo katika zama hizi za sayansi na tekinolojia magonjwa/maradhi yamekua mengi sana si Tanzania tu bali duniani kote kutokana na Sumu kutoka katika vitu mbalimbali hali ambayo hupelekea kupungua kwa Kinga ya mwili. .Jambo muhimu analopaswa kufahamu binadamu yoyote ni kwamba cell zetu ndio zinazopata maradhi hayo maana afya ya mwili wa binadamu hutegemea afya ya cell zake. Najua unapenda kuwa na afya njema. Je unafahamu maradhi mengi 90% husababishwa na utumbo wako kuwa mchafu? Je unafahamu kuwa unavyopeleka service gari lako na mwili wako unahitaji? Umewahi kufikiria njia za kusafisha utumbo wako kutoa sumu za kemikali za soda, sigara, madhara ya madawa, air condition, juice za box(artificial juice), pombe na mengineyo? Jaribu kufikiria je unapata choo kilaini. Je unapata kila siku? Kutokupata choo huweza kusababisha maradhi mengi katika afya yetu. Kama vile kupata matatizo ya utumbo,vitambi, la...

KUKOMESHA KISUKARI NI MIMI NA WEWE

KUKOMESHA KISUKARI NI MIMI NA WEWE Ndugu msomaji nikukaribishe tena katika mwendelezo wa makala haya ya ugonjwa hatari wa kisukari kwa leo tukiangazia athari kubwa zinazowezasababishwa na kisukari karibu. TULIPOISHIA MAKALA YALIYOPITA Kwani kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani(WHO)inadai magonjwa yasiyo ya kuambukiza ndio chanzo kikubwa cha vifo duniani yakifanya ongezeko ya vifo vyote kwa kila mwaka. Inakisiwa kuwa mwaka wa 2020 magonjwa haya yasiyo ya kuambukiza yatasababisha asilimia 73 ya vifo vyote duniani na asilimia 60 ya ukubwa wa tatizo la magonjwa duniani. SONGA MBELE ZAIDI.............. Kutokana na kuwepo kwa athari mbalimbali ambazo husababishwa na ugonjwa huu usiowa kuambukiza wa kisukari ni pamoja na kuwepo kwa uwezekano mkubwa kwa mgonjwa aliyekwisha kuathiriwa na kisukari wenda akapatwa na tatizo la figo .Japo ni vigumu kujua ni mgonjwa yupi wa ugonjwa wa kisukari anawezakukumbwa na tatizo hili la figo japo zipo ishara kadha wa kadha. Ieleweke kuw...

JE WAJUA UNYWAJI WA POMBE NA UVUTAJI WA SIGARA KUPINDUKIA WAWEZA POTEZA UWEZO WA KUTUNZA KUMBUKUMBU?

JE WAJUA UNYWAJI WA POMBE NA UVUTAJI WA SIGARA KUPINDUKIA WAWEZA POTEZA UWEZO WA KUTUNZA KUMBUKUMBU? Utafiti umeonesha kwamba, uvutaji wa sigara kupindukia unasbabisha kupungua kwa kiwango cha hewa safi ya oksijeni kwenye ubongo kwa ajiri ya kuratibu shuguli mbalimbali za kibaiolojia. Pia Unywaji wa pombe kupita kiasi unaweza kusababisha,kubadilika kwa kemikali mbalimbali zinazopatikana kwenye ubongo hivyo, kuingilia mfumo mzima wautunzaji wa KUMBUKUMBU.

FOREVER BRIGHT

ALOE VERA TOOTHGEL Bidhaa ya kusafisha meno iliyotengenezwa tokana na ‘stabilized’ Aloe vera gel pamoja na bee propolis hivyo huu bacteria na vijidudu vyote. Inang’arisha meno bila ya kuchuna tabaka la juu la meno – ENAMEL Huzuia meno yasitoe damu , kuponya vidonda vya mdomoni na endapo kuna maumivu mdomoni unaweza kupaka kwenye meno moja kwa moja bila ya kupiga mswaki. Husaidia kusafisha fizi na kuzifanya tishu zake ziwe na afya imara. Inatumika kwa muda mrefu Haina fluoride kama dawa nyingine za meno sokoni. Fluoride ikimezwa huweza kusababisha madhara mwilini. call us on +255782643285

FOREVER FREEDOM

FOREVER FREEDOM INA ALOE VERA GEL IMECHANGANYWA NA GLUCOSAMINE, CHRONDROITIN NA MSM, ELEMENT ZA ASILI ZINAZO BORESHA AFYA YA VIUNGO NI NZURI KWA WATU WAZIMA NA WANAMICHEZO WANAOTAKA KUTEMBEA VIZURI. FAIDA; HUSAIDIA MFUPA ISICHAKAE NA KURUDISHA UTEUTE ULIOPO KATIKATI YA VIUNGO (SYNOVIAL FLUID) KULAINISHA VIUNGO (MAGOTI) NA KUONDOA MAUMIVU. TUPIGIE;+255782643285